Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Africa | CAF
Leo ndio ile siku ambayo macho na masikio ya wapenda soka barani Afrika wanasubiria kwa hamu droo rasmi ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika…
Mataifa ya Afrika yataanza tena safari yao ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA 2026 wiki ijayo. Mechi ya raundi ya 3 na ya 4…
Bila shaka kila ukitazama mechi za Al Ahly kwenye warmup huwa unaona wachezaji wote wamevaa jezi namba 72. Unajua maana yake!? twende sawa. Februari Mosi, 2012…
Timu zetu zote (Yanga na Simba) zimetolewa zote kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika (CAF Champion League), klabu ya Yanga imetolewa na Mamelodi Sundowns ya Afrika…
Maswali na shauku kubwa hivi sasa kutoka nyumbani Tanzania ni michezo ya mkondo wa pili wa ligi ya mabingwa barani Afrika hatua ya robo fainali ambayo…
Kwa wachezaji wa Simba, Natumaini kwamba barua hii inawapata nyote katika hali njema na hamu kubwa ya kuelekea kwenye mchezo muhimu wa robo fainali dhidi ya…
Kwa wachezaji wa Yanga, Natumai barua hii inawakuta nyote katika hali njema ya afya na nguvu za kutosha kwa maandalizi ya mechi muhimu dhidi ya Mamelodi…
Mchezo ulikuwa wa kimbinu zaidi kwa pande zote mbili yaani Yanga pamoja na Mamelodi kiasi ambacho hatukutarajia mchezo wa namna hii timu zote zikicheza taratibu hususani…
Timu zote mbili kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa ngumu kwao kuwa na takwimu za wao kwa wao kutokana na hiyo ikisababishwa na kutokukutana kwa miaka…
Ulikuwa Mchezo mzuri kutoka kwa pande zote mbili yaani Simba na Al Ahly ukianza kwa kasi sana huku timu zote zikifunguka kwa dakika 15 za mwanzo…