Browsing: Hadithi

Ilipoishia “Ndiyo! Unapaswa kukubali kuolewa na Osman ili apone na  afanyiwe upasuaji wa kupandikiza figo” Mama alirudia kauli  yake, akili yangu ilihama na kumuwaza Mosses, maneno …

Ilipoishia “Unaweza ukapata figo, ukapata kila kitu lakini huwezi  kuuondoa mfadhahiko alionao Mwanao. Kitu cha kwanza ni kumuondolea mfadhahiko Osman ili kumuandaa kwa ajili ya  upasuaji…

Ilipoishia “Yote yaliyo mema, mazuri na yenye uelekeo mzuri zaidi, muda  siyo mrefu maono yangu yatadhihirika” Sikutaka kuendelea  kumuuliza, nilimwambia  “Sawa Mama nasubiria hayo Mema, nipo…

Ilipoishia “Sikia Dokta Simon, naomba hili jambo liwe siri Baina yetu.  Baba yangu asijuwe chochote wakati ambao tunatafuta Figo kwa  ajili ya kunipandikiza” Alisema Osman  “Naweza…

Ilipoishia “Usijali Jacklin nipo kwa ajili yako mara zote” alisema  Mosses na kunifanya nitabasamu kwa uchovu, shughuli ilikuwa  pevu na vile nimetoka kuumwa basi nilichoka sana…

Ilipoishia “Alipotoka Hospitalini Osman alikuwa mwenye mawazo na maumivu  makali sana, alipigiwa simu na Wazazi wake na kumtaka aachane  na mpango wa kutaka kutoa figo kwani…

Ilipoishia “Yaani Mama kisa tu ana hela basi umechanganikiwa kiasi  hicho, kweli umasikini mbaya sana Mama, ila usijali siku siyo  nyingi nitaanza kazi nitakufanyia kila kitu,…

Ilipoishia “Jacklin Mwanangu sijapata pesa kama unaweza kusubiria hadi  jioni sawa” Alisema Mama  “Usijali Mama nitarudi tu” Nilisema, sikuwa na pesa ya nauli  ya kurudia nyumbani…

Mvua ilikuwa ikinyesha, moyo wangu ulijawa na tabasamu kubwa  sana, nilijinyoosha ili kuianza siku mpya ambayo ilianza kwa  hali ya hewa kuwa nzuri yenye ubaridi. Niliposhika…

Mungu Amenisahau

Ilipoishia “Tulirudi kule kwenye ghorofa la Tancot House ambapo ndiyo  tulilala usiku uliopita, Nilijaribu nguo zote ikapatikana  moja tu ambayo ilionekana kuwa nzuri sana na yenye …